YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 9 October 2012

SOMA JINSI BINTI WA MIAKA 16 ZIMBABWE ALIVYOTIRIRIKA KUHUSISHWA KWENYE DINI YA KISHETANI.


0
Bulawayo.
Mtandao maarufu wa Naija Gists umeripoti kwamba binti mmoja wa miaka 16 Zimbabwe ameshtua nchi baada ya kujitokeza na kusema yuko kwenye dini ya kishetani ambayo waumini wake hunywa damu za watu.
Kilichowashtua wengi zaidi ni kwamba amewataja watu 38 ambao wamefariki tayari ,na hiyo ni kutokana na kunyonywa damu na waumini wa dini hiyo.
Hakuishia hapo, huyu binti ametaja mpaka majina ya watu 60 anaoshirikiana nao kwenye hiyo biashara akiwemo mchungaji wa kanisa moja maarufu lililopo cawdray park Bulawayo na ametaja mpaka nyumba ilipo na kuamplfy kwamba kwenye hiyo nyumba kuna chumba cha chini ya ardhi ambacho ndio watu huwa wanawekwa huko wakisubiri kuuliwa damu ipatikane.
.
Alijiunga na hiyo dini akiwa na umri wa miaka 15 tu na ilikua ni baada ya kushawishiwa na mwanaume ambae alikua ni mpenzi wake mwenye umri wa miaka 32, siku moja akiwa kwenye kituo cha basi na boyfriend wake, alijisikia vibaya mwilini na akakaribia kuanguka ndio boyfriend wake na rafiki zake wakamnyanyua na kumpeleka kwenye nyumba iliyopo karibu na kituo cha basi.
Kwenye hiyo nyumba ndio kuna hicho chumba cha ardhini ambapo alilishwa damu ya watu, polisi wa Zimbabwe wamethibitisha kupata hizo taarifa toka wiki iliyopita ila hawajasema chochote mpaka  wakimaliza uchunguzi.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg