YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 13 October 2012

HAPA NA PALE NA CAMERA YETU MSIBANI MWANZA NYUMBANI KWA MAREHEMU (SACP) LIBERATUS BURLOW



 Watu wanajongea polepole nyumbani kwa Marehemu Liberatu Burlow huku wakiwa hawaamini kilichotokea.
 Nyumbani  kwa Marehemu Liberatus Burlow aliyekuwa Kamanda wa Police Mkoa wa Mwanza
aliyeuwawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi.

Taarifa kutoka Mwanza ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema, zinasema kuwa Kamanda Barlow aliuawa baada ya kumrudisha dada yake kutoka katika kikao cha harusi ya ndugu yao huko Kitangili.
 Ni huzuni tupu,bado ni mapema sana kamati zinaundwa na mikakati inapangwa juu ya kukabiriana na Msiba huu Mkubwa.
Marehemu Liberatus Barlow
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP), Liberatus Barlow.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg