YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 18 March 2013

AJALI: TRAFIKI AGONGWA NA GARI ENEO LA BAMAGA



Trafiki mmoja ambaye amefahamika kwa jina moja la Elikiza, muda huu amegongwa na gari aina ya VX ambayo haikujulikana namba na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo wakati akiongoza magari eneo la mataa ya Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam. Taarifa zilizopatikana eneo la tukio zinadai kuwa Trafiki huyo alikuwa akiongoza msafara na baada ya msafara huo, aliruhusu magari mengine yaendelee na safari ndipo ghafla gari lilipotoka upande wa pili na kumgonga.

Saturday 16 March 2013

BAADA YA KUKAMATWA KIONGOZI WA ULINZI WA CHADEMA LWAKATARE SASA CHADEMA WAJA NA TAMKO ZITO.


 
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu Mkurungezi wa Ulinzi na Usalama

 Yawataka polisi kuepuka ushabiki wa kisiasa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa angalizo kwa Jeshi la Polisi nchini kwa kulitaka lisiingize ushabiki wa kisiasa wenye lengo la kukichafua katika uchunguzi dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa chama hicho, Wilfred Lwakatare.

Hata hivyo, wakati Chadema wakitoa tamko hilo, Lwakatare aliyekamatwa tangu juzi bado anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi.
 

Tamko hilo lilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, wakati akizungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam kuelezea mazingira ya kukamatwa kwa Lwakatare na maofisa wa Jeshi la Polisi kutoka makao makuu.
“Chadema haitakubali kuona upelelezi wa suala la Lwakatare Jeshi la Polisi linaingiza ushabiki wa kisiasa, Chadema katika hatua ya awali tunafuatilia kwa karibu sakata lote la ukamataji wa Lwakatare na kuona sheria za nchi, taratibu na misingi ya haki za binadamu inafuatwa kikamilifu,” alisema Dk. Slaa, ambaye aliongozana na baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho.

Baadhi yao ni Makamu Mwenyekiti, Said Arfi; Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa; Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi; Mbunge wa Karatu, Mchungaji Israel Natse; Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini, Mbunge wa Viti Maalum, Susan Lyimo, Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Owenya na Mbunge wa Viti Maalum, Naomi Kaihula.
 
 Dk. Slaa alisema chama chake kina mashaka na upelelezi huo kuingiliwa na ushabiki wa kisiasa kwa sababu uzoefu unajionyesha kuwa Chadema kimekuwa kikitoa taarifa polisi kulalamikia mchezo mchafu unaofanywa na baadhi ya watu wanaoandika barua na nyaraka mbalimbali za kughushi zenye lengo la kukichafua.

Alisema licha ya jitihada hizo zinazofanywa na Chadema kikiwa na matumaini kuwa vyombo vya ulinzi vitayafanyia kazi masuala hayo, lakini katika hali ya kushangaza yanapuuzwa bila kufanyiwa kazi, jambo linalotia mashaka uadilifu wa Jeshi la Polisi.
 
 Alitoa mfano kuwa wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Igunga, mkoani Tabora, kuna kijana anayedaiwa kuwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  alipewa bunduki kwa lengo la kudhuru watu wakati wa kampeni, lakini licha ya Chadema kutoa taarifa na kutaja namba ya bastola husika na mahali ilipotengenezwa, mpaka sasa polisi hawajatoa tamko lolote kama ilisajiliwa kwa jina la nani na mtuhumiwa alijisalimisha kwa mlinzi wa amani.

Alisema tukio jingine ambalo Chadema walilalamikia polisi ni suala la mtu mmoja kuandika barua ya kughushi ikidaiwa kuandikwa na Lwakatare akiomba Sh. milioni 200 kwa ajili ya vijana wanaodaiwa kuwapeleka Igunga kutoka Tarime kwa ajili ya uchaguzi.
 

“Pamoja na matukio haya na mengine kuripotiwa, polisi hawajafanya upelelezi wowote, lakini kwa tukio tu la Lwakatare na picha yake kubandikwa kwenye mtandao, polisi tayari wameshamkamata, ni dhahiri kuna mchezo unachezwa dhidi ya Chadema na polisi kuiingizwa kwa kujua au kutokujua katika mtego huo,” alisema Dk. Slaa.

Alisema si nia ya Chadema kuingilia upelelezi wa polisi katika suala la Lwakatare, lakini ni imani ya chama hicho kwamba sheria na taratibu zinazozingatia katiba inayolinda haki za mtu zitafuatwa.
 

Dk. Slaa alisema tukio la kukamatwa Lwakatare na kuhusishwa kupanga njama za kumdhuru mwandishi na picha kuwekwa kwenye mitando ya kijamii linaweza likawa limepangwa na vyombo vya usalama.
 

Hata hivyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso licha ya kukataa kutoa ufafanuzi kuhusiana na maendeleo ya uchunguzi dhidi ya Lwakatare kwa siku ya jana, alisema vyombo vya usalama haviwezi kuhusika kupanga njama hizo.
 

Juzi Jeshi la Polisi kupitia kwa Senso, lilisema limemkamata Lwakatare ili kuchunguza taarifa zilizosambazwa dhidi yake kwenye mitandao zinazohatarisha uvunjifu wa amani nchini.
 

Kwa upande wake Dk. Slaa,  alisema juzi mchana maofisa watatu kutoka makao makuu ya polisi walifika katika makao makuu ya chama hicho wakimtafuta Lwakatare na kueleza kuwa wana shida ya kutaka kuonana naye na kwamba kwa kuwa alikuwa anawafahamu maofisa hao, aliwaruhusu kuonana naye.  Baada ya dakika chache, maofisa hao walirudi tena kwa Dk. Slaa na kueleza kuwa wanaomba kuondoka na Lwakatare kwenda makao makuu ya jeshi hilo kwa ajili ya mahojiano.
 

AJALI MBAYA YATOKEA KIBAHA LEO : BASI LILILOKUWA LIKIELEKEA MBEYA LATEKETEA KWA MOTO


Basi la ndenjela likiwa linatoka dar kuelekea mbeya limeteketea kwa moto kibaha kongowe asubuhi ya leo. Abiria wote wamenusurika janga hilo.MIZIGO IMTEKETEA KATIKA JANGA HILO

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI YA UDAKU UDAKUZI LEO MARCH 16



.

.
.

.
.

.

.

MWANAFUNZI WA CHUO ALIYEPIGA PICHA ZA UCHI ATENGWA NA FAMILIA YAKE





YULE denti wa chuo kimoja jijini Mwanza ambaye wiki iliyopita tuliandika habari ya picha zake za utupu kuzagaa kwenye mtandao wa BBM, Fatuma Omari amejikuta kwenye wakati mgumu kufuatia madai kuwa familia yake imemtenga.
 
Chanzo chetu kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mara baada ya kutoka kwa habari hiyo, baadhi ya ndugu zake walikasirika na  kutaka kujua undani wake.
“Ile stori ilipotoka ndugu wa Fatuma hawakuamini kuwa kweli kapiga picha hizo.



“Kwa bahati kuna mtu aliyekuwa na picha hizo, walipoziona, waliumia sana na baadhi wakafikia hatua ya kusema hawana radhi naye,” kilidai chanzo hicho.

Ijumaa lilimtafuta Fatuma ili kuzungumzia madai hayo bila mafanikio ila kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Saleh baada ya stori kutoka, alipigia simu  na kusema:

“Fatu ni mdogo wangu, nashangaa mmemuandika kuwa kapiga picha chafu wakati siyo kweli. Kama hizo picha zipo nitakuja kuziona laa sivyo tutapelekena mahakamani,” alisema Saleh.

Tumeamua kutumia picha hiyo chafu hapo juu aliyopiga Fatuma ili kuonesha uhalisia.

Thursday 14 March 2013

Isikilize hapa single mpya ya Kala Jeremih ft Ben Pol, Itazame pia video mpya ya @Solothang ft Godzilla


0

.

HUYU NDIO BALOZI ALIERUDISHWA NYUMBANI BAADA YA KUDAIWA KUTEMBEA BILA NGUO MWILINI.

0
.
.
Lassy Chiwayo ambae ni balozi wa Afrika Kusini nchini China, amerudishwa nyumbani baada ya mkataba wake kukatishwa kutokana na kukumbwa na kile kinachodaiwa kuwa matatizo ya kiafya.
Gazeti la Daily Teleghraph limeripoti kwamba moja kati ya sababu kubwa ni tatizo kwenye akili yake ambapo inadaiwa balozi huyo ilifikia mpaka kutembea mtaani bila nguo.
Magazeti mbalimbali yameripoti kwamba balozi huyo alikua na mtindo wa kupotea nyumbani huko China alikokua anaishi, alikua anapotea kwa siku kadhaa alafu baadae anakuja kukutwa akiwa mtupu bila nguo.
Lassy mwenye umri wa miaka 44 akiwa ni mmoja wa watu wa karibu ambao waliwahi kufungwa gereza moja na rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela, amekanusha taarifa zake za kuwa na matatizo ya akili pamoja na kutembea uchi, akisema hayo yote ni mambo mapya kuyasikia.
Imeripotiwa kwamba Lassy ambae ni baba wa watoto watatu amekumbwa na mfululizo wa matukio hivi karibuni ambapo la mwisho linalokumbukwa ni moto kulipuka nyumbani kwake na kuteketeza mali kama gari la kifahari la Porsche, quad bike na mali nyingine.

Tuesday 12 March 2013

Image of Ahmadinejad consoling Chavez’s mother angers Iranian clerics

Mahmoud Ahmadinejad comforts the mother of Hugo Chavez. (Miraflores Press Office/AP)
Iranian president Mahmoud Ahmadinejad is under fire from the country's clerics over a photo of him consoling the mother of Hugo Chavez at the late Venezuelan leader's funeral—physical contact that's considered a sin under Iran's strict Islamic codes.
The photo, released by Venezuela's Miraflores Press Office, shows Elena Frías' right hand clutching Ahmadinejad's left, her head against his, as they stand near the flag-draped coffin of her son at a military academy in Caracas, Venezuela, on Friday.
The image drew the immediate fury of Tehran's religious conservatives. “No unrelated women can be touched unless she is drowning at sea or needs medical treatment," Hojat al-Islam Hossein Ibrahimi, a cleric at the Society of Militant Clergy, said, according to Iran's Al-Monitor.
Some of Ahmadinejad's supporters insisted the image was fake, digitally altered from a different photo showing the Iranian leader embracing an older man. But as The New York Times noted, the man-hug image was quickly debunked as a Photoshop job:
A side-by-side comparison produced by Entekhab showed that this image had been created by lifting the head of Mohamed ElBaradei, the former chief of the United Nations nuclear agency, from a previously published photograph of him greeting another Iranian official with a kiss in 2007.
Video of Ahmadinejad's embrace of Frías also surfaced, seeming to prove the original image's authenticity.

PICHA ZA AHMADINEJAD AKIMPA POLE MAMA WA MAREHEMU HUGO CHAVEZI

Image of Ahmadinejad consoling Chavez’s mother angers Iranian clerics


Mahmoud Ahmadinejad comforts the mother of Hugo Chavez. (Miraflores Press Office/AP)
Irnan president Mahmoud Ahmadinejad is under fire frm the country's clerics over a photo of him consoling the mother of Hugo Chavez at the late Venezuelan leader's funeral—physical contact that's considered a sin under Iran's strict Islamic codes.
The photo, released by Venezuela's Miraflores Press Office, shows Elena Frías' right hand clutching Ahmadinejad's left, her head against his, as they stand near the flag-draped coffin of her son at a military academy in Caracas, Venezuela, on Friday.
The image drew the immediate fury of Tehran's religious conservatives. “No unrelated women can be touched unless she is drowning at sea or needs medical treatment," Hojat al-Islam Hossein Ibrahimi, a cleric at the Society of Militant Clergy, said, according to Iran's Al-Monitor.
Some of Ahmadinejad's supporters insisted the image was fake, digitally altered from a different photo showing the Iranian leader embracing an older man. But as The New York Times noted, the man-hug image was quickly debunked as a Photoshop job:
A side-by-side comparison produced by Entekhab showed that this image had been created by lifting the head of Mohamed ElBaradei, the former chief of the United Nations nuclear agency, from a previously published photograph of him greeting another Iranian official with a kiss in 2007.
Video of Ahmadinejad's embrace of Frías also surfaced, seeming to prove the original image's authenticity.

HUYU NDIO MTOTO WA MIAKA NANE ALIYEOA 'BIBI' WA MIAKA 61



Huyu ndiyo mtoto wa miaka 8 kutoka Afrika Kusini ambaye ameoa mwanamke mwenye umri wa miaka 61 kwa kile ambacho kimeelezwa kuwa ni kutimiza maagizo ya wazee wake ambao wamekwishatangulia mbele za haki.
Sanele Masilela na mkewe Helen Shabangu
Sanele akimpiga busu mkewe Helen
Wanandoa katika picha ya pamoja

Shamrashamra za Harusi
Bibi akimchum mumewe

Ndoa ikifungwa

 Familia ya mtoto huyu imelipa mahari ya dola 774.85 sawa na shilingi 1,257,969/- za kitanzania.

Kijana huyu ambaye amefahamika kwa jina la Sanele Masilela amemuoa Helen Shabangu ambaye tayari yupo ndani ya ndoa nyingine na ana watoto watano.

Mtoto huyu pamoja na familia yake wamefikia maamuzi haya baada ya kuogopa kupatwa na balaa kwa kutokutimiza masharti ya 'waliotangulia'.

LUNCH YA DIOMOND NA FAMILIA YAKE AKIWA HOME SWEET HOME:


Das Platnumz Baby

Esma khan na Mariam wakiandaa makulaji



Diamond's Family ikiwa kwenye Meza
hapa nikivuta vitu karibu na Mwanangu Anzoo Mafia Mnyama
ahahahhaah askwambie mtu kula pamoja na familia ni raha sana.... 


wit my Luvly mum n ma bway Baby Boy from SOUTH AFRICA




Das my Luvly Sister Esma Khan
hahahahahahahhah crazy eeh?

LUNCH YA DIOMOND NA FAMILIA YAKE AKIWA HOME SWEET HOME:


Das Platnumz Baby

Esma khan na Mariam wakiandaa makulaji



Diamond's Family ikiwa kwenye Meza
hapa nikivuta vitu karibu na Mwanangu Anzoo Mafia Mnyama
ahahahhaah askwambie mtu kula pamoja na familia ni raha sana.... 


wit my Luvly mum n ma bway Baby Boy from SOUTH AFRICA




Das my Luvly Sister Esma Khan
hahahahahahahhah crazy eeh?