YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 29 May 2014

WASICHA WAWILI WABAKWA NA KUNING'INIZWA JUU YA MTI


ubakaji2
Kundi la wanaume watano akiwemo afisa mmoja wa polisi limedaiwa kuwabaka na kuwauwa wasichana wawili wadogo ambao ni ndugu katika mji mmoja nchini India na kisha kuining’iniza miili yao juu ya mti kwa mujibu wa mamlaka za nchi hiyo.
Wanakijiji walikuta miiili ya wasichaa hao wenye umri wa miaka 14 na 15 ikiwa inaning’inia katika mti wa maembe saa chache baada ya kupotea nyumbani katika kijiji cha Katra kilichopo kwenye jimbo la Utter Pradesh.
ubakaji
Wasichana hao walikuwa wamekwenda vichakani kuoga kutokana na kutokuwa na vyoo nyumbani kwao ambapo mamia ya wanakijiji wenye hasira walikusanyika katika eneo hilo la mti kwa siku nzima wakiandamana kushinikiza polisi kukabiliana na vitendo hivyo.
Ungependa stori kama hizi zisikupite? niko tayari kukutumia wakati wowote iwapo utajiunga na mimi kwa kubonyeza >>> Twitter Instagram facebook na kupata pichaz, video, stori na mengine yote ya hii dunia.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg