Mheshimiwa wa magogoni alisafiri kinyemela bila kutuaga waajili yake na kwenda Juba South Sudani kwenye birthday ya taifa hilo!
Hiyo ni safari ya 313 ta awe rais wa tz mwaka 2005
UPDATES

Mpaka leo tarehe 23/8/2011 tayari amesha safiri safari 315 tangu aingie magogoni octoba mwaka 2005
Hii ni rekodi ya kipekee duniani ambayo watz tunatakiwa kujivunia na kutembea kifua mbele maatako nyuma

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Libya, ...
UPDATES

Kesho tar 9/9/2011 rais atasafiri kuelekea Kenya kwa ziara ya kikazi
Hiyo ni safari ya 316 tangu rais aingie madarakani mwaka 2005!

UPDATES:

Safari ya 317 kwa rais wangu kipenzi!
ameenda marekani katika ufunguzi wa UNGA.vilevile atashiriki katika sherehe za kuazimisha maendeo yaliyofikiwa na nchi zinazo endelea.
wakati huo huo waziri mkuu pinda ametangaza kuwa serikali inakusudia kuongeza bei ya umeme kwa sababu tanesco inajiendesha kwa
hasara.mia

UPDATES
Safari ya 318 ya rais mwenye maajabu duniani!
JK anaondoka leo kuelekea Australia kwenye mkutano wa jumuiya ya madola...
President Jakaya Mrisho Kikwete in a group picture with some top officials of Turkey Confederation of Businessmen

UPDATES
Wakuu nimepata taarifa halisi za wastani wa gharama ya NAULI ya kila safari ya nje ambayo rais kikwete na ujumbe wake hutumia! Kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya kuaminika toka wizara ya fedha,hazina na magogoni ni kuwa kila msafara hugharimu kadirio la juu milioni 300 na kadilio la chini ni milioni 250. Zingatieni hii ni NAULI ya ndege iende irudi tu!

Sasa hebu chambueni wenyewe ikulu inatumia kiasi gani kwa safari za rais?

UPDATES16/12/2011
Safari ya 319, hivi sasa yupo nchi Uganda katika mkutano uitwao International Conference of Heads of State (ICGLR)


Rais wetu anazidi kujijengea heshima katika mkakati wake wa kuvunja rekodi ya dunia kwa kusafi hata ziara zenye kumtuma waziri, yeye anasafi tu ilimradi lengo litimie

Inashangaza sana kuona maraisi wenzake kwa kujali zaidi maslahi ya mataifa yao, hawakuona sababu za kuhudhuria sherehe za uhuru wa Tanganyika wakabaki na wengine kutuma wawakilishi tu, lakini jk hata kicheni pati akialikwa Urusi atasafiri bila kukosa.

Rais kikwete na Wasiri wa Nje Wa  Marekani Bi Cliton



UPDATES

Safari ya 320 ya Rais JK Ameenda Davos Kuikomboa Tanzania, acheni Kelele !
ambakoatahudhuria mikutano ya WEF na ule wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU)mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili Jumamosi, Januari 28, 2012
Obama Na Kikwete MAREKAni

UPDATES:

SAFARI ya 321 
ya Mh Rais Jakaya M. Kikwete, sasa leo anatua katika nchi ya Afrika kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili leo Jumamosi, Januari 28, 2012
Rais kikwete na Rais Wa Marekani Obama na bibi cliton
UPDATES: 21/2/2012

SAFARI ya 322,

Leo mheshimiwa Rais Jakaya M.Kikwete amesafiri kwenda Uingereza,hakuna sababu ya msingi inayompeleka huko japo kubwa ni kupangua Baraza la Mawaziri.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Nchi za Kiarabu, Sheikh Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya siku mbili.
UPDATES: 24/2/2012
SAFARI YA 323,

Leo Rais mwenye maajabu duniani, mutu ya musoga, aka msafiri kafiri, anatua Botswana ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kikazi, huku nyumbani amecha mbwa wamepatwa na kichaa wanaua raia wanaomba haki yao ya kulindwa!

Inasikitisha, inashangaza aminini haya ndiyo ya FILAUNI.
Rais Jakaya Kikwete akipokewa rasmi na Mfalme Abdullah II ibn Al Hussein wa Jordan katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi nchini Jordan tarehe 22.02.2010.

UPDATES: 


Safari ya 324!
15/04/2012 Rais Jakaya Kikwete ametua Brazili kwa ziara ya kikazi!

UPDATES:

SAFARI YA 325
Leo tarehe 22 rais Jakaya Kikwete amewasili Malawi kushiriki mazishi ya aliyekuwa rais wa Malawi Bingu wa Mtharika!

Raitba inasema atarudi tz tarehe 24


KIKWETE hUKO chNA



UPDATES:
Leo tarehe 9/5/2012
Safari ya 326 tangu mkuu wa nchi aingie madarakani!

Rais amewasili Addis Ababa Ethiopia KWA KONGAMANO LA UCHUMI LA KIMATAIFA KWA AFRICA!


UPDATES:
Safari yake ya 327
,
Rais Jakaya Kikwete yupo nchini Marekani tangu tarehe 16/5/2012 akisubiri kuhudhuria mkutano unaotarajiwa kufanyika tarehe 19/5/2012,

UPDATES

SAFARI YA 328:

Leo tarehe 1/7/2012

Rais wa Tanzania Mh Jakaya M. Kikwete na ujumbe wake wamesafiri mpaka Kigali Rwanda kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo!

Mungu ibariki Tanzania!


UPDATES:

SAFARI YA 329

Tarehe 2/7/2012

Rais Jakaya baada ya kutoka kuhudhuria sherehe za uhuru nchini Rwanda, ameunganisha kwenda nchini Burundi kuhudhurua sherehe za Uhuru wa nchi hiyo!

UPDATES

Tarehe 10/7/2012

Safari ya 330:

Hivi punde tumewasili nchini Uingereza,

Msafara wa mh rais Jakaya Kikwete umewasili Hyatt Regency London-The Churchill
rais wa Tanzania na rais wa Burundi 

Ziara hii imetufikisha hapa kwaajili ya mh rais kuhudhuria mkuta unaohusu mambo ya Family Plan!

UPDATES:

SAFARI YA 331

Tarehe 14, rais Jakaya Kikwete amewasili Mjini Addis Ababa Ethiopia kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU),
UPDATES:

SAFARI YA 332.

Rais Jakaya Kikwete amewasili Kampala, Uganda,*kuhudhuria mkutano wa*nchi*za Maziwa Makuu asubuhi Agosti*8, 2012


Waziri Mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho kikwete


UPDATES

SAFARI YA 333 .

Rais Jakaya Kikwete yupo nchni Ghana kuhudhuria msiba wa rais wa nchi hiyo.