YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 28 June 2014

KUTOKA MOROGORO, SHOW YA AFANDE SELE

118seleUsiku wa June 27 ni usiku uliokuwa na burudani nyingi sana hasa kwa zile ambazo uliwahi kuzisikia kipindi cha nyuma kiukweli ni jukwaa lililowakutanisha wakali wengi wa muziki wa zamani wa muziki wa kizazi kipya ambao wengi wao hujapata nafasi ya kuwasikia hivi karibuni.
159seleMiongoni mwa watu ambao niliwaona kwenye stage ambao ni pamoja na Daz Baba,O ten,Mapacha,Man dojo&Domokaya,Jitaman ambao kwa pamoja walipata sapoti kutoka kwa wadogo zao Barakah Da Prince na Chriss Omarya.
Ilikua ni list fulani hivi ambayo iliwafanya watu wengi waliokusanyika ukumbi wa Msamvu Terminal Pub kujawa na hamu mpaka alipokuja kumaliza Afande Sele ambaye alikua mtu wa mwisho kuperfoam ambapo allianza kuuperfoam wimbo wa Elimu Dunia aliyoshirikishwa na Daz Baba.
Baadhi ya picha za show miaka 10 ya Mfalme wa Rhymes iliyokua Morogoro.
165sele
10sele
18seleChriss omarya
20seleZombi President
24seleJitta Man kutoka Mwanza nae alikuwepo.
32seleBarakah Da Prince
36seleMapacha[Vinega]
48sele
47seleChigga Son kutoka Planet Fm Morogoro.
46sele
44sele
42sele
41sele
49sele
51sele
54seleMan Dojo
56seleO-Ten
58sele
60seleO-ten On stage
70sele
67sele
64sele
63sele
62sele
61sele
75sele
77sele
79sele
80sele
81sele
83sele
105seleAfande Sele na Ballet Walet.
101seleAfande Sele na Daz Baba wakiimba Elimu Dunia.
95sele
93seleAfande Sele na wadau wa Morogoro
92seleAfande Sele,Man Dojo na Jose wa Morogoro
90sele
110sele
115sele
116sele
117sele
118sele
119sele
143sele
135sele
129sele
126sele
123sele
122sele
145sele
147sele
149sele
150sele
153sele
154sele
181sele
172sele

159sele
158sele

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg