YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 3 August 2014

1:DODOMA GET READY....JOSE CHAMILEONE AFANYA KUFURU MAISHA CLUB...DODOMA LEO HAPAKALIKI, TAZAMA PICHA 40 ZA KILICHOJIRI

 


 Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone  akiwapagawisha mashabiki wake kwenye clab ua Maisha jijini Dar es salaam. Burudani hii imefanyika usiku wa kuamkia leo Jumamosi.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Feruz akiwapungiaalipoingia kuimba na Jose Chameleone kwenye ukumbi wa Maisha jijini Dar es Salaam
 Jose Chameleoneakiendelea kuwapagawisha mashabiki wake waliofika kwenye Club ya Maisha jijini Dar es Salaam
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Feruz akiwaburudisha mashabiki wake kwenye shoo ya  Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone iliyopewa jina la Tubonge Tour.
 Ni mwendo wa kudodondosha moja moja



Msanii wa muziki wa kizazi kipya Profesa Jay akitoa burudani kwa mashabiki wake
 Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone akimkumbatia Profesa Jay kwa kuoonesha upendo katika moja ya nyimbo walioshirikishana.


Mc wa  Shoo ya Jose Chameleone, Hyperman HK akizungumza jambo kwenye shoo hiyo



Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kufanya shoo ya nguvu kwenye Club ya Maisha  jijini Dar leo ijumaa na pia atafanya shoo mkoani Dodoma siku ya Jumamosi.
  Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone akiwa kwenye pozi na Hyperman HK (kushoto) wa maisha club mara tu ya kumpokea  msanii huyo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere siku ya alhamis saa mbili usiku.
 Jose Chameleone akipelekwa kwenye gari ili apelekwe Hotelin kwa mapumziko
 Akielekea kwenye gari yaani ni shidaaaaaaaa
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg