YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 5 August 2014

BAS LA BUNDA LAPATA AJALI MBAYA MCHANA HUU...KWA TAAFA ZAIDI SOMA HAPA





 Toyota Coaster lenye namba za usajili T 399 BYC lililokuwa likitokea Musoma kwenda Bunda likiwa limepata ajali mchana huu eneo la Bitaraguru, Bunda mkoani Mara.

Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali wakisaidiwa kutoka kwenye basi hilo.

Wananchi wakishuhudia ajali hiyo.

Basi hilo likiinuliwa na wananchi baada ya ajali.
BASI la abiria aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T 399 BYC lililokuwa likitokea Musoma kwenda Bunda limepata ajali mchana huu na kujeruhi abiria katika eneo la Bitaraguru lililopo nje kidogo ya mji wa Bunda mkoani Mara.
Basi hilo limepata ajali baada ya kuacha njia na kupinduka. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo hakuna abiria aliyepoteza maisha.
( Whatsapp 0716909576, kama una tukio kama hili tutumie kupitia namba hiyo)

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg