Staaa wa bongofleva ambae wengi tulimfahamu kupitia single ya ‘naenda kusema kwa mama’ dogo Aslay ndio anasaidia kuwajengea wazazi nyumba hapa Gongo la mboto Dar es salaam.
Pesa aliyoitoa Aslay ndio imenunulia haya matofali ambapo mara ya mwisho kuongea na Aslay aliniambia alikua ametoa zaidi ya shilingi laki nane kwa ajili ya huo ujenzi, yani kila anapopata pesa za show kidogo anakimbiza nyumbani kwao huku yeye akiendelea na masomo.
No comments:
Post a Comment
gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg