
Huu ni mlango wa kuingilia sehemu ya kusubiria mizigo ya abiria waliokuja na ndege.

Sehemu ya kusubiria mizigo, hapa pia ndio watu wanapatumia kutokea na kusubiriwa na waliokuja kuwapokea.

.

Sehemu ya kusubiria mizigo kwa nje, hapo kwenye baraza ambako kuna watu wengi ndio sehemu ya kutoka abiria ukishachukua mzigo.

Ukiwa unakwenda kupanda ndege, hapa ndio unaanzia… zamani ilikua ukiwa unasafiri na anaewasili mnapishana sehemu moja lakini kwa sasa wamepatenganisha, hamuonani kabisa.

Sehemu ya kusubiri kwa wanaoondoka, hapa ni kwa nje.
No comments:
Post a Comment
gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg